Trump apinga marekebisho ya sheria ya haki ya kubeba silaha

Rais Donald Trump wa Marekani ametangaza kuwa hana mpango wa kufanyia marekebisho sheria ya haki ya kubeba silaha nchini humo licha ya kushuhudia mara kwa mara ufyatuaji risasi mashuleni na katika vituo vya elimu nchini humo.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *