Trump apanga kuwahamishia Libya Wapalestina milioni 1 wa Gaza

Imefichuka kuwa, maafisa wakuu wa serikali ya Rais wa Marekani, Donald Trump wanashughulikia mpango wa kuhamisha takriban nusu ya wakazi milioni 2.2 wa Ukanda wa Gaza uliozingirwa na kuwapeleka hadi Libya.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *