Trump amfuta kazi Mshauri wa Usalama wa Taifa na naibu wake

Ripoti za vyombo vya habari vya Marekani zinasema Mshauri wa Usalama wa Taifa, Michael Waltz na naibu wake, Alex Wong, wataacha nyadhifa zao kwa agizo la Rais Donald Trump.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *