Trump akosolewa baada ya kuchapisha picha yake akiwa amevaa vazi kama la Papa

Rais wa Marekani, Donald Trump, anakabiliwa na shutuma baada ya kuchapisha picha iliyotengenezwa kwa kutumia akili mnemba (AI) inayomuonyesha akiwa amevalia kama papa wa Kanisa Katoliki kwenye jukwaa lake la Truth Social.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *