Rais mpya wa Marekani Donald Trump ameahidi kuweka hadharani nyaraka za serikali zilizoainishwa kuwa za siri zaidi, zinazohusiana na mauaji ya Rais John F. Kennedy, Seneta Robert F. Kennedy, na mwanaharakati wa haki za kiraia Martin Luther King Jr.
Related Posts
Ghalibaf: Changamoto ya uhusiano wa kiuchumi wa Iran na Afrika ni usafiri
Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) ameyataja matatizo ya usafiri kuwa ni miongoni mwa changamoto kubwa…
“Mshtuko” wa hali ya hewa waikumba miji mikubwa duniani, imo miji mikuu ya Afrika
Utafiti mpya wa hali ya hewa unaonyesha kuwa mabadiliko ya tabianchi tayari yanaathiri miji mingi mikubwa duniani, na kusababisha mabadiliko…
Rais wa Russia: Karibuni hivi viongozi wote wa Ulaya ‘watamtikisia mikia’ Trump japo hawampendi
Rais Vladimir Putin wa Russia amesema, Umoja wa Ulaya daima umekuwa ukipokea ishara za uchukuaji hatua zake za kisiasa kutoka…