Rais wa Burkina Faso, Ibrahim Traoré, siku ya Jumamosi alisema anataka uhusiano wa nchi yake na Urusi ukue kwa kasi ya “kihistoria” na kupanuka katika maeneo mapya ya ushirikiano. Traore ametoa kauli hiyo wakati wa mkutano wake na Rais wa Russia, Vladimir Putin, mjini Moscow.
Related Posts
China: Hatuogopi kupigana vita vya kibiashara na Marekani
China imeonya kwamba “haiogopi” kupigana vita vya kibiashara na Marekani, ikikariri wito wa mazungumzo baada ya Rais wa Marekani, Donald…
China imeonya kwamba “haiogopi” kupigana vita vya kibiashara na Marekani, ikikariri wito wa mazungumzo baada ya Rais wa Marekani, Donald…

nchi ya EU yamhukumu mamluki kwa uporaji nchini Ukraine
Jimbo la EU lamhukumu mamluki kwa uporaji nchini UkraineMahakama ya Czech imemhukumu raia mmoja kifungo cha miaka saba jela kwa…
Jimbo la EU lamhukumu mamluki kwa uporaji nchini UkraineMahakama ya Czech imemhukumu raia mmoja kifungo cha miaka saba jela kwa…
Ayatullah Seddiqi: Marekani haina hadhi ya kuwa na mazungumzo ya moja kwa moja na Iran
Imam wa muda wa Sala ya Ijumaa ya mjini Tehran amesema kuwa, madai ya rais wa Marekani ya kufanya mazungumzo…
Imam wa muda wa Sala ya Ijumaa ya mjini Tehran amesema kuwa, madai ya rais wa Marekani ya kufanya mazungumzo…