TPLB yawakumbusha wadau kufuata kanuni za ligi  lala salama Championship

Bodi ya Ligi Kuu imewakumbusha wadau wa soka kufuata kanuni na taratibu za ligi ikiwemo kujihusisha na upamngaji wa matokeo kimpindi ambacho ligi ya Championship inaelekea ukingoni ikiwa imesalia raundi tatu tu kumalizika kwa ligi hiyo.

Kupitia taarifa iliyotolewa na bodi hiyo imesema imeongeza nguvu katika usimamizi wa michezo hiyo ili ushindani wa mechi za mwisho za igi ya Championship uzae burudani viwanjani badala ya kusababisha uvunjifu wa Kanuni za Ligi na sheria za mpira wa miguu huku ikiwakumbusha kuchukua hatua kali kwa yeyote atakaye bainika kujihusisha na upangaji wa matokeo.

Imeandikwa “BODI ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) inautaarifu umma kuwa Ligi ya Championship ya NBC msimu wa 2024/2025 inaingia kwenye mzunguko wa 28 leo Jumamosi Aprili 26, 2025 ambapo kila klabu imesaliwa na michezo mitatu tu kabla ya kumaliza msimu.”

“Bodi ilipanga na kutangaz

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *