Matumaini ya kiongozi wa upinzani wa Kenya Raila Odinga ya kupata kiti cha Mwenyekiti wa Tume ya Umoja wa Afrika yameingia mashakani baada ya SADC kuziandikia nchi 16 za muungano huo izikiomba kumuunga mkono mgombea wa Madagascar.
Related Posts

Cairo, hatua ya nane ya safari ya kieneo ya Araghchi
Seyyed Abbas Araghchi, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewasili Cairo, mji mkuu wa Misri,…

Kiongozi Muadhamu: Tutaendelea kuwa pamoja na wananchi wa Lebanon na Muqawama
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa ujumbe wa maneno kwa ajili ya wananchi na viongozi wa Lebanon walioko kwenye…

Njama mpya ya unyakuzi wa ardhi ya Israel dhidi ya Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan
Bezalel Smotrich, Waziri wa Fedha wa utawala wa Kizayuni ametoa matamshi kuhusiana na ushindi wa Donald Trump katika uchaguzi wa…