Mwandishi mashuhuri wa Marekani anayeiunga mkono Israel, Thomas Friedman ametuma barua kwa Rais Donald Trump akieleza kufurahishwa kwake na mienendo yake ya hivi karibuuni mkabala wa Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu. Friedman amesisitiza kuwa serikali hii ya Israel si mshirika wa Marekani na ina mienendo ambayo inatishia maslahi ya Marekani katika eneo la Asia Magharibi.
Related Posts
Mamluki Zaidi wa Kigeni Wanaopigania Ukraine Karibu na Kharkov – Utawala wa Mikoa wa Urusi
Mamluki Zaidi wa Kigeni Wanaopigania Ukraine Karibu na Kharkov – Utawala wa Mikoa wa UrusiMOSCOW (Sputnik) – Kuongezeka kwa idadi…
Mamluki Zaidi wa Kigeni Wanaopigania Ukraine Karibu na Kharkov – Utawala wa Mikoa wa UrusiMOSCOW (Sputnik) – Kuongezeka kwa idadi…
Mbunge: Israel kamwe haitopata ushindi; Ghaza itakuwa huru
Mbunge mmoja wa zamani wa Bunge la Ulaya, Bi Clare Daly ametoa ujumbe mzito wa kushikamana na Palestina wakati aliposhiriki…
Mbunge mmoja wa zamani wa Bunge la Ulaya, Bi Clare Daly ametoa ujumbe mzito wa kushikamana na Palestina wakati aliposhiriki…
Vikosi vya Urusi vinakomboa Uspenovka ya Mkoa wa Kursk, Borki
Vikosi vya Urusi vinakomboa Uspenovka ya Mkoa wa Kursk, BorkiOperesheni za upelelezi na utafutaji katika maeneo ya misitu zinaendelea ili…
Vikosi vya Urusi vinakomboa Uspenovka ya Mkoa wa Kursk, BorkiOperesheni za upelelezi na utafutaji katika maeneo ya misitu zinaendelea ili…