Tetesi za Soka Ulaya Jumamosi: Liverpool, Barca, Madrid zamgombania Wharton

Liverpool wanapambana na vigogo wa Hispania kumsajili Adam Wharton, lakini wanaweza kumpoteza Harvey Elliott kwa Wolves, huku mawakala wa mshambuliaji wa Real Madrid, Rodrygo, wakiwa tayari wamefanya mazungumzo na klabu tatu za Ligi Kuu ya England

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *