Nahodha wa Manchester United Bruno Fernandes atapewa muda hadi wiki ijayo kuamua kama anataka kuondoka katika klabu hiyo, huku Al Hilal wakipanga kutoa takriban £100m kwa mchezaji huyo wa kimataifa wa Ureno, 30, ambaye angelipwa takriban £65m kwa msimu nchini Saudi Arabia.
BBC News Swahili