Taratibu ambazo Iran inaona zinahitajika ili kurekebisha Mkataba wa Umoja wa Mataifa

Kazem Gharibabadi, Naibu Waziri wa Masuala ya Kisheria na Masuala ya Kimataifa wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amewasilisha mapendekezo ya Jamhuri ya Kiislamu kwa wajumbe wa Kundi la Marafiki wa Mkataba wa Umoja wa Mataifa katika kikao cha tatu cha Waratibu wa Kitaifa wa Hati ya Marafiki wa Umoja wa Mataifa iliyoandaliwa na Moscow.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *