Tanzania yapiga marufuku bidhaa zote za kilimo kutoka Afrika Kusini na Malawi

Waziri wa Kilimo wa Tanzania, Hussein Bashe amesema mazungumzo yanaendelea kupitia Wizara ya Mambo ya Nje, lakini Tanzania haiwezi kuendelea kunyimwa haki ya kuuza bidhaa zake katika nchi hizo mbili.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *