Mahakama ya Kimataifa ya Haki ya Umoja wa Mataifa (ICJ) imetangaza kuwa imepokea mashtaka yaliyowasilishwa na Sudan dhidi ya Muungano wa Falme za Kiarabu UAE, au Imarati ambapo Khartoum inaituhumu Abu Dhabi kuwa imekiuka Mkataba wa Mauaji ya Kimbari kwa kuwapa silaha na kuwafadhili kifedha wanamgambo wa “Vikosi vya Usaidizi wa Haraka” (RSF) katika katika vita vya ndani vya Sudan.
Related Posts

Chifu wa Hamas aliuawa – nini kitatokea baadaye?
Chifu wa Hamas aliuawa – nini kitatokea baadaye?Kifo cha Ismail Haniyeh ni changamoto kwa Iran na wanachama wengine wa ‘Mhimili…
Chifu wa Hamas aliuawa – nini kitatokea baadaye?Kifo cha Ismail Haniyeh ni changamoto kwa Iran na wanachama wengine wa ‘Mhimili…
Amnesty International yamkosoa kansela mtarajiwa wa Ujerumani kwa kumwalika Netanyahu
Shirika la kimataifa la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limemkosoa vikali Friedrich Merz kansela mtarajiwa wa Ujerumani kwa…
Shirika la kimataifa la kutetea haki za binadamu la Amnesty International limemkosoa vikali Friedrich Merz kansela mtarajiwa wa Ujerumani kwa…
Al Houthi: Tupo tayari kutekeleza oparesheni dhidi ya Israel iwapo haitaruhusu misaada kuingia Gaza
Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amethibitisha msimamo wa harakati hiyo kuhusu muhula walioutoa kwa Israel ili kuruhusu misaada…
Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amethibitisha msimamo wa harakati hiyo kuhusu muhula walioutoa kwa Israel ili kuruhusu misaada…