Sudan yagundua makaburi ya halaiki yenye mamia ya miili Omdurman

Sudan yagundua makaburi ya halaiki yenye mamia ya miili Omdurman

Jeshi la Sudan limesema leo Alkhamisi kwamba, makaburi ya halaiki ya mamia ya raia yamegunduliwa katika mji wa Omdurman, kaskazini mwa mji mkuu wa nchi hiyo, Khartoum.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *