Spika wa Bunge Kenya aamuru uchunguzi wa mauaji ya mbunge, Charles Ong’ondo

Spika wa Bunge la Kitaifa la Kenya, Moses Wetang’ula amemwagiza Inspekta Jenerali wa Polisi, Douglas Kanja, kuchunguza mara moja mauaji ya mbunge wa Kasipul, Charles Ong’ondo Were na kuwasilisha matokeo ya uchunguzi huo bungeni bila kuchelewa.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *