Somalia yazindua mpango wa chanjo nchi nzima ili kukabiliana na surua, polio na nimonia

Somalia leo Jumatatu imezindua kampeni ya chanjo ya kitaifa ili kukabiliana na magonjwa ya surua, polio na nimonia. Kampeni hiyo ya chanjo imekusudia kuwafikia watoto zaidi ya milioni 3 nchini humo.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *