Somalia yajiunga na Afreximbank ili kukuza biashara ya ndani ya Afrika

Kuanzia jana Jumatatu, Somalia imekuwa rasmi mwanachama wa 53 wa Benki ya Mauzo ya Nje ya Afrika (Afreximbank) wakati huu ambapo nchi hiyo ya mashariki mwa Afrika imo kwenye jitihada za kukuza biashara ya ndani ya Afrika na uchumi wake.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *