Simulizi ya watoto wenye ulemavu wa familia moja mkoani Morogoro, katika eneo la Mazimbu, ambao mlezi wao hulazimika kuwaacha nyumbani wenyewe ili aende kutafuta vibarua kwa ajili ya kumudu mahitaji mbalimbali waliyonayo.
#AzamTVUpdates
Mhariri | John Mbalamwezi