Kocha Mkuu wa Simba SC, Fadlu Davids amesema wachezaji na jopo la ufundi wanafahamu fika wanachopaswa kukifanya katika mchezo wa marejeano wa fainali ya Kombe la Shrikisho Afrika ili kubadili matokeo ya kufungwa magoli 2-0 na RS Berkane katika mchezo wa mkondo wa kwanza uliofanyika Mei 17 huko Morocco.
BBC News Swahili