Utawala wa wa Kizayuni wa Israel Israel unaendelea kufanya jinai na mashambulizi ya anga katika maeneo mbalimbali ya Ukanda wa Ghaza ambapo tangu asubuhi ya leo hadi wakati tunaandaa taarifa hii, makumi ya Wapalestina wamekuwa wameshauwa shahidi na kujeruhiwa, leo ikiwa ni siku ya saba ya tangu kuanza wimbi jipya la jinai za utawala wa Kizayuni huko Ghaza.
Related Posts
Jumamosi, tarehe 15 Machi, 2025
Leo ni Jumamosi tarehe 14 Ramadhani 1446 Hijria, sawa na tarehe 15 Machi, 2025. Post Views: 11
Leo ni Jumamosi tarehe 14 Ramadhani 1446 Hijria, sawa na tarehe 15 Machi, 2025. Post Views: 11

Silaha za Kiukreni katika Mkoa wa Kursk zafuka moshi – MOD (VIDEO)
Silaha za Kiukreni katika Mkoa wa Kursk hupanda moshi – MOD (VIDEO) Ndege zisizo na rubani aina ya Lancet na…
Silaha za Kiukreni katika Mkoa wa Kursk hupanda moshi – MOD (VIDEO) Ndege zisizo na rubani aina ya Lancet na…
Mustakbali uliogubikwa na kiza wa Syria; wafuasi wa al Julani wazidi kuua raia
Shirika la kutetea haki za binadamu nchini Syria limeripoti habari ya kuuawa zaidi ya raia 1,383 wasio na hatia katika…
Shirika la kutetea haki za binadamu nchini Syria limeripoti habari ya kuuawa zaidi ya raia 1,383 wasio na hatia katika…