Ziad Al-Nakhala, Katibu Mkuu wa harakati ya Jihadul Islami ya Palestina ametoa hotuba kwa mnasaba wa maandalizi ya Siku ya Kimataifa ya Quds akiwapongeza mashahidi wa Operesheni Kimbunga cha al Aqsa na kusema: “Malengo yetu ni ya hali ya juu na adhama yetu ni kubwa. Wazayuni wauaji na washirika wao hawawezi kuvunja irada yetu, na tunazidi kuwa na nguvu. Muqawama wetu unaweka historia isiyosahaulika leo hii.”
Related Posts
Jeshi la Sudan lakomboa mji mpya, latangaza mafanikio dhidi ya waasi wa RSF
Jeshi la Sudan limekomboa mji mwingine kusini mwa Sudan siku ya Jumapili, ikiwa ni mafanikio mapya katika mapambano dhidi ya…
Jeshi la Sudan limekomboa mji mwingine kusini mwa Sudan siku ya Jumapili, ikiwa ni mafanikio mapya katika mapambano dhidi ya…
Imam Khamenei apongeza ujasiri wa wananchi wa Lebanon
Akaunti rasmi ya mtandao wa kijamii wa X ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei imetuma…
Akaunti rasmi ya mtandao wa kijamii wa X ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei imetuma…

Ukraine yaishambulia Bryansk ya Urusi
Mashambulizi ya Kiukreni dhidi ya Bryansk ya Urusi yalighairi – gavana Uvamizi huo umetishwa na walinzi wa mpaka na askari…
Mashambulizi ya Kiukreni dhidi ya Bryansk ya Urusi yalighairi – gavana Uvamizi huo umetishwa na walinzi wa mpaka na askari…