Si gereza Israel ni makaburi, ukitoka hai ndio ushangae

Askari mmoja wa akiba wa jeshi la Israel ambaye wakati fulani alikuweko kwenye jela ya kutisha ya Israel ya Sde Teiman katika Jangwa la Negev amefichua taarifa za kutisha na kuogofya mno kuhusu jinai wanazofanyiwa Wapalestina kwenye gereza hilo.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *