Shughuli za chama cha Kabila zasitishwa na serikali ya DRC

Mali za rais wa zamani wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Joseph Kabila zimevamiwa na vyombo vya usalama na shughuli za chama chake zimesimamishwa nchi nzima.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *