Shirika la Haki za Binadamu la Euro-Med: 94% ya waliouliwa na mashambulio ya Israel Ghaza ni raia

Shirika la Kimataifa la kutetea haki za binadamu la Ulaya na Mediterania, Euro-Med Human Rights Monitor limeyatoa maanani madai ya utawala wa Kizayuni wa Israel kwamba majeshi yake yanapambana na wapiganaji wa Hamas huko Ghaza likisititiza kuwa kwa uchache asilimia 94 ya waathirika wa mashambulio ya kinyama ya utawala huo ni raia.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *