Serikali ya Sudan yakanusha madai ya kutuma mjumbe huko Israel

Serikali ya Sudan imekanusha kwamba imetuma mjumbe Israel, kufuatia ripoti kwamba mkuu wa Baraza la Mpito la Utawala wa Sudan, Abdel Fattah al-Burhan, alimtuma mjumbe kukutana na maafisa wa serikali ya Tel Aviv.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *