Serikali ya CAR yatangaza mazungumzo na upinzani miezi michache kabla ya uchaguzi wa urais

Serikali ya Jamhuri ya Afrika ya Kati imetangaza kuwa, inataka kufanya mazungumzo ya kisiasa na mrengo wa upinzani ikiwa ni miezi michache kabla ya uchaguzi wa urais mwezi Desemba mwaka huu.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *