Rais Donald Trump wa Marekani, amerejea ikulu baada ya miaka minne, akianza rasmi muhula wake wa pili wa urais Jumatatu, tarehe 20 Januari 2025. Swali kuu ni: Je, sera yake kuhusu Mashariki ya Kati au Asia Magharibi itakuwaje katika muhula huu wa pili?
Related Posts

Wadukuzi wa Korea Kaskazini wanajaribu kuiba siri za nyuklia na kijeshi, Marekani, Uingereza zasema
China inapaswa kuadhibiwa – mkuu wa NATO Jens Stoltenberg amedai kuwa Beijing lazima ilipe gharama kwa ajili ya kuisaidia Urusi…
China inapaswa kuadhibiwa – mkuu wa NATO Jens Stoltenberg amedai kuwa Beijing lazima ilipe gharama kwa ajili ya kuisaidia Urusi…
Zaidi ya maghasibu 500,000 wa Kiyahudi wanaugua maradhi ya afya ya akili
Wazayuni milioni tatu wamekumbwa na matatizo ya kiakili baada ya Operesheni ya Kimbunga cha Al-Aqsa. Post Views: 26
Wazayuni milioni tatu wamekumbwa na matatizo ya kiakili baada ya Operesheni ya Kimbunga cha Al-Aqsa. Post Views: 26
Mwanafunzi wa Iran ashinda ‘Tuzo ya Mtafiti Kijana wa Mwaka’ ya BRICS na SCO
Hosna Salimi, mwanafunzi wa Kiirani wa Kitivo cha Taaluma za Dunia (FWS) cha Chuo Kikuu cha Tehran ameshinda Tuzo ya…
Hosna Salimi, mwanafunzi wa Kiirani wa Kitivo cha Taaluma za Dunia (FWS) cha Chuo Kikuu cha Tehran ameshinda Tuzo ya…