Sayyid Hassan Nasrullah alivunja kiburi cha jeshi la Israel linalodai halishindwi

Mkuu wa Baraza Kuu la Kisiasa la Yemen amesema kuwa: Sayyid Hassan Nasrullah amepata mafanikio makubwa na kuvunja kiburi na majigambo ya jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel ambalo linadai eti halishindiki.