Sakata la uuzaji wa Msikiti mkongwe zaidi Kenya

Msikiti wa kihistoria wa Kongo, ulioko Diani, Kaunti ya Kwale, umekuwa katika mzozo baada ya mwekezaji binafsi kudai umiliki wa ardhi hiyo na kupewa hatimiliki mnamo Februari 17, 2025.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *