Russia yasisitiza: Iran iko sahihi kabisa, haki za kinyuklia za kila nchi haziwezi kupingwa

Mwakilishi wa Kudumu wa Russia katika Mashirika ya Kimataifa yenye makao yao mjini Vienna ametilia nguvu msimamo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuhusu haki yake ya kumiliki mzunguko kamili wa fueli ya nyuklia na kusisitiza kwamba haki za kinyuklia zilizonazo nchi wanachama wa Mkataba wa Kuzuia Uenezaji Silaha za Atomiki (NPT) haziwezi kupingwa wala kukanushwa.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *