Mwakilishi wa Kudumu wa Russia katika Mashirika ya Kimataifa yenye makao yao mjini Vienna ametilia nguvu msimamo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuhusu haki yake ya kumiliki mzunguko kamili wa fueli ya nyuklia na kusisitiza kwamba haki za kinyuklia zilizonazo nchi wanachama wa Mkataba wa Kuzuia Uenezaji Silaha za Atomiki (NPT) haziwezi kupingwa wala kukanushwa.
Related Posts

Majeshi ya Yemen yaligonga…
Majeshi ya Yemen yaligonga meli yenye uhusiano na Israel, waharibifu 2 wa Marekani katika Bahari Nyekundu Msemaji wa Jeshi la…
Majeshi ya Yemen yaligonga meli yenye uhusiano na Israel, waharibifu 2 wa Marekani katika Bahari Nyekundu Msemaji wa Jeshi la…
Iran yakataa madai ya kuhusika katika operesheni za kulipiza kisasi za Yemen
Iran imelaani vikali tuhuma za hivi karibuni zilizotolewa na maafisa wa Marekani na Israel kuhusu kuhusika kwake katika operesheni za…
Iran imelaani vikali tuhuma za hivi karibuni zilizotolewa na maafisa wa Marekani na Israel kuhusu kuhusika kwake katika operesheni za…
Senegal yasaini makubaliano ya amani na kundi linalopigania kujitenga eneo la Casamance
Serikali ya Senegal na harakati kwa jina la Movement of Democratic Forces of Casamance (MFDC); kundi la waasi linalopigania kujitenga…
Serikali ya Senegal na harakati kwa jina la Movement of Democratic Forces of Casamance (MFDC); kundi la waasi linalopigania kujitenga…