Russia yaituhumu Ulaya na NATO kuwa zinajiandaa kwa makabiliano ya moja kwa moja ya kijeshi

Katibu wa Baraza la Usalama la Russia, Sergei Shoigu, amelituhumu shirika la kijeshi la nchi za Magharibi, NATO na Umoja wa Ulaya kuwa zinaandaa mzozo wa moja kwa moja wa kijeshi na Moscow.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *