Russia: Tuko tayari kufikia amani na Ukraine lakini si kama inavyotarajia Marekani

Rais wa Russia Vladimir Putin yuko tayari kushiriki katika juhudi za kuleta amani nchini Ukraine, na mashauriano ya kina yanaendelea kati ya Urusi na Marekani.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *