Balozi wa Russia katika Umoja wa Mataifa amemshutumu mkuu wa UNICEF kwa kuwapa kipaumbele watoto wa Ukraine kuliko watoto wenzao wa Ghaza baada ya kushindwa kulieleza Baraza la Usalama la umoja huo kuhusu masaibu ya watoto hao kama alivyofanya kwa watoto wa Ukraine.
Related Posts

Watu 28 wauawa, 46 wajeruhiwa katika mapigano mapya magharibi mwa Sudan
Takriban raia 28 wameuawa na wengine 46 wamejeruhiwa katika shambulio lililofanywa na Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) huko…
Takriban raia 28 wameuawa na wengine 46 wamejeruhiwa katika shambulio lililofanywa na Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) huko…
Wanamgambo wa CODECO washambulia na kuuwa zaidi ya watu 35
Wanamgambo wenye silaha wamewaua zaidi ya raia 35 na kuwajeruhi wengine kadhaa, katika shambulio lililotokea usiku wa Jumatatu katika vijiji …
Wanamgambo wenye silaha wamewaua zaidi ya raia 35 na kuwajeruhi wengine kadhaa, katika shambulio lililotokea usiku wa Jumatatu katika vijiji …
Russia: Magharibi inaudhoofisha Umoja wa Mataifa na kuuondolea itibari yake
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia ametahadharisha kuhusu vitendo vya Magharibi vinavyolenga kuudhoofisha Umoja wa Mataifa. Post…
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia ametahadharisha kuhusu vitendo vya Magharibi vinavyolenga kuudhoofisha Umoja wa Mataifa. Post…