Waziri wa Fedha wa Russia amesema kuwa nchi wanachama wa kundi la BRICS zinachunguza hatua kadhaa za ubunifu wa kifedha ikiwemo kuanzisha mfumo wa malipo wa kidijitali ili kutoa huduma za kifedha ndani ya kambi hiyo ya kiuchumi.
Related Posts
Imam Khamenei: Mustakabali utaonyesha ni nani amedhoofika
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu ametaja kudhoofika kwa nchi kuwa ni dhana potofu na njozi ya maadui. Post Views: 20
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu ametaja kudhoofika kwa nchi kuwa ni dhana potofu na njozi ya maadui. Post Views: 20
Waislamu Nigeria washerehekea ushindi wa Wapalestina
Waislamu katika Jimbo la Bauchi, Kaskazini mwa Nigeria, jana Jumapili walisherehekea ushindi wa Wapalestina na Mhimili wa Mapambano dhidi ya…
Waislamu katika Jimbo la Bauchi, Kaskazini mwa Nigeria, jana Jumapili walisherehekea ushindi wa Wapalestina na Mhimili wa Mapambano dhidi ya…
Malengo ya Iran ya kuwa na ushirikiano mzuri na majirani zake katika nyuga mbalimbali
Majid Takht Ravanchi, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayehusika na Masuala ya Kisiasa amesema kuhusu mikutano na…
Majid Takht Ravanchi, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran anayehusika na Masuala ya Kisiasa amesema kuhusu mikutano na…