Msemaji wa jeshi la Sudan ametangaza leo kuwa wanamgambo wa kikosi cha RSF wamefanya shambulio la ndege isiyo na rubani (droni) katika kambi ya jeshi la nchi hiyo na katika vituo vingine karibu na uwanja wa ndege wa Port Sudan. Hili ni shambulio la kwanza kuwahi kufanywa na wanamgambo wa RSF katika mji huo wa bandari wa mashariki.
Related Posts
Baghaei: Mazungumzo ya Jumamosi yatakuwa kipimo cha nia ya Marekani
Kwa mara nyingine tena, Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, mazungumzo yasiyo ya moja kwa…
Kwa mara nyingine tena, Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, mazungumzo yasiyo ya moja kwa…
Watu 33 wauawa katika mashambulizi yanayoshukiwa kuwa ya RSF nchini Sudan
Takriban watu 33 wameuawa nchini Sudan katika mashambulio yanayoshukiwa kufanywa na Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) huku vita vya…
Takriban watu 33 wameuawa nchini Sudan katika mashambulio yanayoshukiwa kufanywa na Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF) huku vita vya…

Uvamizi wa Ukraine nchini Urusi umeacha raia wamekufa, watoto kujeruhiwa – gavana
Uvamizi wa Ukraine nchini Urusi unaacha raia kufa, watoto kujeruhiwa – gavanaMakaazi ya mpakani yalipigwa makombora kabla ya wanajeshi kuvamia…
Uvamizi wa Ukraine nchini Urusi unaacha raia kufa, watoto kujeruhiwa – gavanaMakaazi ya mpakani yalipigwa makombora kabla ya wanajeshi kuvamia…