RSF: Palestina ni eneo hatari zaidi kwa waandishi wa habari kutokana na ukatili wa Israel

Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani imeadhimishwa Mei 3 huku waandishi wa habari wa Palestina wakiendelea kufanya kazi katika eneo hatari zaidi duniani, kutokana na kulengwa na utawala katili wa Israel katika mauaji ya kimbari yanayoendelea Gaza.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *