Ofisi ya Vyombo vya Habari ya Serikali ya Gaza imesema, kutokana na mauaji ya mwanahabari Saeed Amin Abu Hassanein, idadi ya waandishi wa habari wa Palestina waliouawa shahidi na Israel imeongezeka hadi 212, tangu vita vya mauaji ya kimbari vilipoanza katika eneo hilo lililozingirwa mnamo Oktoba mwaka 2023.
Related Posts
China haitakubali sera ya ‘Marekani Kwanza’ yenye msingi wa ubabe wa Kimarekani
Waziri wa Mambo ya Nje wa China amesema kuwa sera ya Rais Donald Trume ya ‘Marekani Kwanza’ haiwezi kufanikishwa kwa…
Waziri wa Mambo ya Nje wa China amesema kuwa sera ya Rais Donald Trume ya ‘Marekani Kwanza’ haiwezi kufanikishwa kwa…

Silaha za Kiukreni katika Mkoa wa Kursk zafuka moshi – MOD (VIDEO)
Silaha za Kiukreni katika Mkoa wa Kursk hupanda moshi – MOD (VIDEO) Ndege zisizo na rubani aina ya Lancet na…
Silaha za Kiukreni katika Mkoa wa Kursk hupanda moshi – MOD (VIDEO) Ndege zisizo na rubani aina ya Lancet na…
Mapigano mashariki mwa DRC yazidisha mateso ya Waislamu, Swala ya Tarawih yasitishwa
Baraza Kuu la Waislamu katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo limeamua kusimamisha Swala ya Tarawih katika miji ya mashariki inayokaliwa…
Baraza Kuu la Waislamu katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo limeamua kusimamisha Swala ya Tarawih katika miji ya mashariki inayokaliwa…