Ripoti: Israel imeua wanahabari wa Kipalestina 212 tangu Oktoba, 2023

Ofisi ya Vyombo vya Habari ya Serikali ya Gaza imesema, kutokana na mauaji ya mwanahabari Saeed Amin Abu Hassanein, idadi ya waandishi wa habari wa Palestina waliouawa shahidi na Israel imeongezeka hadi 212, tangu vita vya mauaji ya kimbari vilipoanza katika eneo hilo lililozingirwa mnamo Oktoba mwaka 2023.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *