Ramadhani, Mwezi wa Dhifa ya Mwenyezi Mungu (6)

Mwezi mtukufu wa Ramadhani ni kama ilivyo mvua ya msimu wa machipuo, inayonyesha kwenye jangwa kavu lenye kiu ya maji. Jongeeni tukidhi kiu ya nyoyo zetu kwa maji ya mvua hii ya uzima.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *