Sambamba na kuanza mwezi mtukufu wa Ramadhani, Jeshi la Sudan SAF limezidisha mashambulizi ya kuuteka kikamilifu mji mkuu wa nchi hiyo, Khartoum, kutoka mikononi mwa Vikosi vya Msaada wa Haraka (RSF). Hata hivyo kampeni hiyo inasababisha hasara kubwa hasa kwa watoto wa nchi hiyo. Mapigano hayo yamesambaratisha maisha ya vijana na kushadidisha njaa, mbali na janga la majeruhi, wajane na mayatima.
Related Posts
Miundombinu inakabiliwa na uharibifu katika Mkoa wa Belgorod wa Urusi
Miundombinu inakabiliwa na uharibifu katika Mkoa wa Belgorod wa UrusiNdege nyingine isiyo na rubani ya Ukraine ililipuka karibu na nyumba…
Miundombinu inakabiliwa na uharibifu katika Mkoa wa Belgorod wa UrusiNdege nyingine isiyo na rubani ya Ukraine ililipuka karibu na nyumba…

Trump, Orban, Putin: Kwa nini ‘madikteta’ wote wana nia ya amani?
Trump, Orban, Putin: Kwa nini ‘madikteta’ wote wana nia ya amani?Huku shirika la Washinton na Brussels likipenda tu umwagaji damu…
Trump, Orban, Putin: Kwa nini ‘madikteta’ wote wana nia ya amani?Huku shirika la Washinton na Brussels likipenda tu umwagaji damu…
Spika: Mataifa yanayotegemea usalama kutoka nje yatafeli
Mohammad Baqer Qalibaf, Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema mustakabali wa nchi zinazotegemea mataifa mengine…
Mohammad Baqer Qalibaf, Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema mustakabali wa nchi zinazotegemea mataifa mengine…