Ramadhani, Dhifa ya Mwenyezi Mungu (9)

Mwezi mtukufu wa Ramadhani ni kama mvua laini ya msimu wa kuchipua inayonyeshea jangwa kavu na lenye kiu. Hebu na tuyaloweshe majangwa ya roho zetu kwa mvua hii yenye uhai.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *