Rais wa Mexico Claudia Sheinbaum amekataa pendekezo la Rais wa Marekani Donald Trump la kupeleka wanajeshi ndani ya ardhi ya nchi hiyo kupambana na magenge ya madawa ya kulevya na akasisitiza kwamba, wakati Mexico imeweka mlango wazi kwa ushirikiano, haitakubali kamwe “kutiishwa” kwa Washington.
Related Posts
Familia za mateka Wazayuni: Njia pekee ya kuwarejesha mateka ni kuipindua serikali ya Netanyahu
Familia za mateka Wazayuni wanaoshikiliwa Ghaza zimesema, anachopigania waziri mkuu wa utawala wa Kizayuni Benjamin Netanyahu ni kurefusha vita kwa…
Familia za mateka Wazayuni wanaoshikiliwa Ghaza zimesema, anachopigania waziri mkuu wa utawala wa Kizayuni Benjamin Netanyahu ni kurefusha vita kwa…
Russia: Tuko tayari kufikia amani na Ukraine lakini si kama inavyotarajia Marekani
Rais wa Russia Vladimir Putin yuko tayari kushiriki katika juhudi za kuleta amani nchini Ukraine, na mashauriano ya kina yanaendelea…
Rais wa Russia Vladimir Putin yuko tayari kushiriki katika juhudi za kuleta amani nchini Ukraine, na mashauriano ya kina yanaendelea…
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran atoa wito wa umoja katika ujumbe wa Idul Fitr
Katika ujumbe wa pongezi kwa wenzake Waislamu kwa mnasaba wa sikukuu ya Idul Fitr, inayoadhimisha baada ya kumalizika mwezi mtukufu…
Katika ujumbe wa pongezi kwa wenzake Waislamu kwa mnasaba wa sikukuu ya Idul Fitr, inayoadhimisha baada ya kumalizika mwezi mtukufu…