Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amefanya mazungumzo kwa njia ya simu na viongozi wa nchi mbalimbali, akiwapongeza kwa mnasaba wa kusherehekea sikukuu ya Idul-Fitr. Amesisitiza ulazima wa kuimarishwa zaidi umoja na uhusiano wa kindugu baina ya nchi za Waislamu na ulazima wa kuzima njama za maadui.
Related Posts

Putin aelekea Azerbaijan kwa ziara ya kiserikali
Putin aelekea Azerbaijan kwa ziara ya kiserikali Itakuwa ni mara ya tatu kwa kiongozi huyo wa Urusi kukutana ana kwa…
Putin aelekea Azerbaijan kwa ziara ya kiserikali Itakuwa ni mara ya tatu kwa kiongozi huyo wa Urusi kukutana ana kwa…

nchi ya la EU yatoa ahadi mpya ya gesi ya Urusi
Jimbo la EU latoa ahadi mpya ya gesi ya UrusiSerikali ya Austria inaripotiwa kupanga kuachana kabisa na uagizaji kutoka Moscow…
Jimbo la EU latoa ahadi mpya ya gesi ya UrusiSerikali ya Austria inaripotiwa kupanga kuachana kabisa na uagizaji kutoka Moscow…

Vikosi vya Wanajeshi wa Urusi vyazidi kukomboa makazi yaliyotekwa na Ukrainei – rasmi
Vikosi vya Wanajeshi wa Urusi hukomboa makazi moja zaidi – rasmi MOSCOW, Agosti 24. /TASS/. Askari wa Kikosi cha 810…
Vikosi vya Wanajeshi wa Urusi hukomboa makazi moja zaidi – rasmi MOSCOW, Agosti 24. /TASS/. Askari wa Kikosi cha 810…