Rais wa Iran amesema kuwa nchi za Kiislamu zinapasa kujiepusha na masuala yanayozusha hitilafuna badala yake zinapasa kushikama na kuwa kitu kimoja; na kwa njia hiyo ni wazi kuwa njama za maadui na wale wanaozitakia mabaya nchi hizo hazitafanikiwa. Njama za maadui na wanaowatakia wenzao mabaya hakika hazitafanikiwa.
Related Posts

Urusi na China zazindua mazoezi ya pamoja ya kijeshi
Urusi na China zazindua mazoezi ya pamoja ya kijeshiManeva ya siku tatu ya wanamaji yameanza Kusini mwa Uchina, Wizara ya…
Urusi na China zazindua mazoezi ya pamoja ya kijeshiManeva ya siku tatu ya wanamaji yameanza Kusini mwa Uchina, Wizara ya…
‘Waislamu wachukue msimamo wa maana dhidi ya mauaji ya kimbari yanayofanywa na Wazayuni’
Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Iraq ya An-Nujabaa imelaani mashambulizi ya kinyama yaliyoanzishwa tena na utawala wa Kizayuni katika…
Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Iraq ya An-Nujabaa imelaani mashambulizi ya kinyama yaliyoanzishwa tena na utawala wa Kizayuni katika…
Ijumaa, tarehe 7 Februari, 2025
Leo ni Ijumaa tarehe 08 Shaabani 1446 Hijria sawa na tarehe 7 Februari 2025. Post Views: 28
Leo ni Ijumaa tarehe 08 Shaabani 1446 Hijria sawa na tarehe 7 Februari 2025. Post Views: 28