Rais wa Algeria asema nchi yake haitasahau uhalifu wa ukoloni wa Ufaransa

Rais Abdelmadjid Tebboune wa Algeria, amesisitiza kwamba suala la kumbukumbu ya kitaifa kuhusiana na utawala wa kikoloni wa Ufaransa nchini humo “halitakuwa jambo la kusahauliwa au kukanwa.”

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *