Rais Trump wa Marekani awasili Saudia, alenga kutoka na kitita cha dola trilioni 1

Rais wa Marekani, Donald Trump, amewasili mjini Riyadh katika awamu ya kwanza ya ziara yake ya siku nne katika eneo la Asia Magharibi, ambapo analenga kupata hadi dola trilioni moja za uwekezaji kutoka Saudi Arabia.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *