Rais Traoré wa Burkina Faso aikosoa vikali kamandi ya kijeshi ya Marekani barani Afrika

Rais Ibrahim Traoré wa Burkina Faso amemkosoa vikali mkuu wa Kamandi ya Kijeshi ya Marekani barani Afrika kwa kuingilia mambo ya ndani ya nchi yake huku akisema kuwa Muungano wa Nchi za Sahel ulioundwa hivi karibuni ni “Mfano wa Mshikamano” barani Afrika.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *