Rais Samia awataka viongozi wa kikanda kuupatia ufumbuzi mgogoro wa DRC

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye ni mwenyeji wa mkutano wa kilele wa kikanda wa kutatua mzozo wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo amewataka viongozi wa kikkanda kuupatia ufumbuzi mgogoro wa nchi hiyo hharaka iwezekanavyo.