Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Ijumaa, Aprili 11, 2025 amekutana na mmiliki wa Manchester United, Sir Jim Ratcliffe, ikulu, Dar es Salaam.
Katika kikao hicho, Rais Samia na Ratcliffe wamefanya mazungumzo ya ushirikiano katika masuala ya utalii na michezo.
