Rais Ramaphosa: Mivutano ya kisiasa inakwamisha maendeleo

Rais Cyrill Ramaphosa wa Afrika Kusini amesema kuwa, mivutano ya kisiasa inatishia maendeleo ya dunia na kwamba ulimwengu utaendelea kurudi nyuma kutokana na kukosekana uthabiti na ushirikiano wa kimataifa.